Tanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961.
Je,Tanzania ilipata uhuru lini?
Ground Truth Answers: 9 Desemba 1961
Prediction:
Zanzibar ilipata uhuru wake tarehe 10 Desemba 1963. Uhuru wa usultani ukadumu muda mdogo tu. Mapinduzi ya tarehe 12 Januari 1964 yakamuondoa Sultani. Mauaji ya familia nyingi zenye asili ya Kiarabu yakafuata.
Je,Tanzania ilipata uhuru lini?
Ground Truth Answers: 10 Desemba 1963
Prediction:
Tarehe 26 Aprili 1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza (1964-1985) na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.
Je,Tanzania ilipata uhuru lini?
Ground Truth Answers: 1964
Prediction: